Jichanganye Kibongo-The Urban Story

Marafiki.Mavazi.Mijadala.Mapicha.Video.Makundi Na Maujanja Toka Kitaa.Online Tv

Umewahi kujiuliza kwanini wasanii wa kibongo wanapenda kujibatiza majina ya wasanii walio kiwanja..(Marekani)? Angalia majina kama P Funk, Saigon, halafu aliyeharibu zaidi ni Chid Benz kuanzia La familia, Hiyo Benz yenyewe ameifanyia Clipping toka Benzino, King Kong, Na sasa ivi The big boss. Hao ni wachache tu, sasa jiulize ghafla leo hawa jamaa mmoja wao anapata show kiwanja si unajua saivi kupiga show kiwanja si kitu cha kushangaza tena, sasa duuh! hawa jamaa watatengeneza picha ipi ya muziki wa kibongo huko watakapokuwa..? au ndo zile za Bitoz Nyangema anataka aitwe Tupac..? Kama hiyo haitoshi siku hizi wamekuja na staili ya kuchana na biti za mbele mbaya zaidi hawaangalii hata show za kufanya hivyo, kwa mfano AY kwenye show ya The Climax waliyodondoka Fat Joe na Eve alitumia biti ya Big Pimpin ya Hov kudondoka twista zake mbele ya hawa jamaa, unajua tafsiri yake ni nn? Bongo hakuna Maproducer Ndo kitu cha karibu ambacho jamaa walifiria nadhani, sasa kwa staili hii Kuna Next level kweli? Au mi ndo mtoto pori..?

Shea na Wengine

Ijibu Hii

Hoja za Mjadala Huu

ukitegemea lugha ya mwingine wewe ni mtumwa wa kila jambo. tunasema kiswahili hakina maneno wakati tunakidharau, hivyo basi tutabaki am am kuvaa viatu vya marekani, kuongea kimarekani, kuvaa nguo za UK basi kila dakika tutaona waingereza ndio wenyewe duniani. hayo ni machache hivyo kwa kuwa tumekuwa watumwa wa lugha basi hata majina tunachukua ya kwao.

Ijibu Hii

RSS

About

Jichanganye Team Jichanganye Team created this social network on Ning.

Create your own social network!

Live Jichanganye Styl,The Styl Of The Realest & Illest ,Established 2002.by The LKM02 HOUZE,We Love Tanzania Our Lovely Land.

Yaliyojiri Punde

akam babako ameweka picha moja:
on Thursday
stone niambie mwana kudalili ya mimi kuwa mwanamziziki? i jus perfomed bella9's song mbele ya around 300 students....it was really sick mpaka mistari nilikuwa nasahau... nipe maoni yako
on Tuesday
kas ameweka video:
Sumuya Mapenzi (Poison of Love) Song performed in "Swinburne Cultural Night 2009", an event organized by Swinbune University of Technology (Sarawak... maisha ya school huku MY
on Tuesday
mistari noma.....real hiphop...big up
on Tuesday
inabidi wabongo tukubali mabadiliko
Novemba8
kizito eliasi added 9 photos to the album 'kiz photos'
Novemba5
no..!she is not
Novemba5
she is now in harare bra....
Novemba5

© 2009   Created by Jichanganye Team on Ning.   Create Your Own Social Network

Beji  |  Taarifu Jambo  |  Faragha  |  Terms of Service