Jichanganye Kibongo-Ending The Decade

We all Tanzanians.Despite Locations.Lets Get 2gether

..hii imenikera na nadhani hata wadau wengine nanyi inawakera, wanavyuo wengi hapa bongo mnapenda ku "copy" na ku "paste" lifestile la mbelefele huku mkijua wazi vividly, hali halisi mliyoiacha majumbani kwenu... labda wadau naomba mnisaidie hapa, kwa nini hasa,kina dada wengi hupitiwa na ulimbukeni huu....( hata wagwandu(boys/masculine gender) tumo, ila sio kivile kama wao machic)??!

Shea na Wengine

Ijibu Hii

Hoja za Mjadala Huu

HILI SWALA CO CHUO TU M2 WANGU N Mambo ya utandawaZ yanii ile kuishi kmbelele ila co ishu kwani kuishi hivyo unamtukana m2?af mi nkicheki cku hizzi maisha ya kitanzania ndo yapiiiiiiiiiiiiiiii nadhani hlo ndo swali am out

Ijibu Hii

kuishi kama mbele kunadatisha ma sista zetu sana,cheki vyuo vyote DSM pata Picha Ya wasomi .PIGA PICHA YA USHINDANI WA KIMATAIFA NA USOMI WA KIBONGO! inabidi tuumize vichwa siyo tuuze sura!!!

Ijibu Hii

RSS

Live Jichanganye Styl,The Styl Of The Realest & Illest ,Established 2002.by The LKM02 HOUZE,We Love Tanzania Our Lovely Land.

Yaliyojiri Punde

Dakika 1 iliyopita
Dakika 1 iliyopita
Dakika 1 iliyopita
Dakika 1 iliyopita
Dakika 1 iliyopita
Dakika 1 iliyopita
From the Gift Store
Dakika 2 zilizopita
Dakika 2 zilizopita

© 2009   Created by Jichanganye Team on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Taarifu Jambo  |  Faragha  |  Terms of Service