Zamani alikuwa sharobaro lakini baada ya Kutoka Na kupata Beat Ya ukweli toka kwa Producer Jazzy Weezy Wa Hitimisho Records,Ambaye pia ni producer we2 ndani ya jichanganye.Ni single yake ya Pili Baada ya "we Mkali" feat Udeude wa sharo baro Ambayo haikufanya vizuri kitaa.dogo yopo kwenye Endelea
Mwekaji: Jichanganye Team Tar. Novemba 1, 2009 saa 2:50pm —
Hakuna Maoni
Harakati kitaani ni project anayohusu mapicha ya kitaani katika levo za juu za Computer Graphics,huu mpango mzima tunaweza kuuita "Bongo Rap Wallpapers" tunapenda mtoe maoni,Feel Free & jichanganye!!!!
Artist:Budda Monk Lebo:Mashadaville/Crunk Boyz Ngoma:I Love U Feat Cash Bunna ,Sikiliza Ngoma zake K… Endelea
Mwekaji: Jichanganye Team Tar. Septemba 15, 2009 saa 1:42am —
Hakuna Maoni
SI MUDA MREFU NILISIKIA KUWA DALADALA BONGO HAZITAKIWI ILA SIKUFAHAMU VIZURI KUWA HAZITAKIWI KUINGIA MJINI AU ZISIONEKANE KABISA..KAMA NDIVYO SIJUI KILIO CHA WENYE NAZO KITAKUWAJE,HAPO S.AFRIKA NAKO FUJO MTINDO MMOJA ETI UKIULIZA NINI DALADALA NAKO HAZITAKIWI KUBEBA ABIRIA WALA KUONEKANA...BADO SIJAJUA ZILITENGENEZWA SPECIAL KWA AJILI YA NINI NA BADO VIWANDANI ZINATENGENEZWA NA KWENYE MA SHOWROOM ZIKO ZA KUMWAGA... Endelea
Mwekaji: kizito eliasi Tar. Machi 26, 2009 saa 12:17pm —
Hakuna Maoni
SI MUDA MREFU NILISIKIA KUWA DALADALA BONGO HAZITAKIWI ILA SIKUFAHAMU VIZURI KUWA HAZITAKIWI KUINGIA MJINI AU ZISIONEKANE KABISA..KAMA NDIVYO SIJUI KILIO CHA WENYE NAZO KITAKUWAJE,HAPO S.AFRIKA NAKO FUJO MTINDO MMOJA ETI UKIULIZA NINI DALADALA NAKO HAZITAKIWI KUBEBA ABIRIA WALA KUONEKANA...BADO SIJAJUA ZILITENGENEZWA SPECIAL KWA AJILI YA NINI NA BADO VIWANDANI ZINATENGENEZWA NA KWENYE MA SHOWROOM ZIKO ZA KUMWAGA... Endelea
Mwekaji: kizito eliasi Tar. Machi 26, 2009 saa 12:00pm —
Hakuna Maoni
,Mambo vipi washikaji ,na wadau wakubwa wa jichanganye.katika kupitia mtandao kwa kina tumegundua wengi wenu mnaishia kusoma vilivyoandikwa na kuondoka ,hamtoi maoni,hamualiki washikaji wapya,hamuweki masongi,hamshiriki mijadala,yaaani kwa ufupi wengi wenu hamjajua jinsi ya kujichanganya.basi kama hayo yote haujawahi kuyafanya anza kuyafanya ili ujichanganye kiukweli .au siyo bwana ,team nzima ya The LKMO2 HOUZE ipo busy deile kuhakikisha mambo yanakuwa kama yalivyopangwa.tunaomba ushirikiano wa… Endelea
Mwekaji: LKM02 Tar. Machi 2, 2009 saa 1:00pm —
Oni Moja1
MLIMA Kilimanjaro umesababisha mzozo miongoni mwa Watanzania na Wakenya wanaoshiriki mafunzo ya utawala bora na mapambano dhidi ya rushwa, mjini Milwaukee.
Tukio hilo lilitokea juzi Septemba mwaka huu, wakati wakiwa darasani katika Chuo Kikuu cha Marquette, mjini hapa, chanzo kikiwa ni Dk. Thomas Bausch, raia wa Marekani, aliposema ni katika miaka ya karibuni amefahamu mlima huo uko Tanzania na si Kenya.
"Wamarekani wengi ndivyo wanavyojua, nilishangaa sana," alisema Dk. Bausch na kuongeza kuw… Endelea
stone niambie mwana kudalili ya mimi kuwa mwanamziziki? i jus perfomed bella9's song mbele ya around 300 students....it was really sick mpaka mistari nilikuwa nasahau... nipe maoni yako
Sumuya Mapenzi (Poison of Love) Song performed in "Swinburne Cultural Night 2009", an event organized by Swinbune University of Technology (Sarawak...
maisha ya school huku MY