,Mambo vipi washikaji ,na wadau wakubwa wa jichanganye.katika kupitia mtandao kwa kina tumegundua wengi wenu mnaishia kusoma vilivyoandikwa na kuondoka ,hamtoi maoni,hamualiki washikaji wapya,hamuweki masongi,hamshiriki mijadala,yaaani kwa ufupi wengi wenu hamjajua jinsi ya kujichanganya.basi kama hayo yote haujawahi kuyafanya anza kuyafanya ili ujichanganye kiukweli .au siyo bwana ,team nzima ya The LKMO2 HOUZE ipo busy deile kuhakikisha mambo yanakuwa kama yalivyopangwa.tunaomba ushirikiano wako japo kwa kwa kuandika ka stori hata kamoja kutoka mtaaani kwako ,au kokote ambako ungependa wabongo wajue kila unapo ingia online ,ili tuwakilishw hisia zetu si unajua tena jichanganye inapatikana dunia nzima.sikieni kengele .amkeni wabongo enyesheni basi hizo talent au maujanja mlionayo ili watu wajue kama wabongo tupo vipi.much luv 2 all active memberz of Jichanganye Kibongo...wataondoka watarudi sisi tupo na tunaendelea ku-supply maujanja..God Bless Jichanganye Stylz,God Bless Tanzania and Africa @ Large.tupo kijanja zaidi


Wanachama wa Jichanganye Kibongo-The Urban Story tu ndio wanaweza kuweka maoni!
Jiunge na Mtandao huu